Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

BENKI YA NMB YAZINDUA TAWI MAALUM LA NMB TINDE  MNADANI

Na Mwandishi wetu, Shinyanga BENKI ya NMB imezindua tawi maalum la NMB Tinde Mnadani mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kuzingatia dhamira yake ya muda mrefu ya kusambaza huduma za kifedha kwa jamii ambazo hazijafikiwa. Uzinduzi huu umeambatana pamoja na uzinduzi wa matawi mengine maalum ya Itobo(Nzega, Tabora), Iboregero(Igunga, Tabora), Mkongeni(Mvomero, Morogoro) na Dosidosi(Kiteto, Manyara) Akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi hilo ,Afisa Mkuu wa wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi ameeleza kuwa Benki hiyo inatambua nafasi muhimu ya minada ya mifugo katika uchumi wa vijijini na uwepo wake katika mnada wa Tinde unaashiria utoaji wa huduma za kifedha na dhamira ya Benki ya NMB kusogeza huduma hizi kwa kila mtanzania huku wakiziwezesha jamii ambazo kihistoria zimekuwa zikikabiliwa na vikwazo vya kufikiwa na huduma za kifedha. Amesema eneo hilo la kimkakati la Tawi hili jipya maalum linalenga kuleta mapinduzi katika hali ya kifedha ya wafanyabiashara na wafugaji kwa kutoa huduma salama, rahisi na zenye ufanisi huku zikirahisisha na kuboresha shuguli zao kwa maslahi makubwa ya uchumi wa binafsi na wa mkoa wa Shinyanga kwa ujumla. “Kwa kuanzisha tawi hili maalum ndani ya mnada wa Tinde, tunatatua changamoto za moja kwa moja za matumizi makubwa ya pesa taslimu kwa kituo hiki kitatoa huduma kamili, zikiwemo kuweka pesa na kutoa pesa, kufanya miamala mbalimbali, programu za elimu ya kifedha hususani zeney mlengo wa ufugaji na mkopo maalum iliyoundwa kuongeza tija ya mifugo na biashara kwa ujumla, ” Mponzi alisema. Ameongeza kuwa, kabla ya hapo washiriki wa minada ya mifugo, wanunuzi na wafanyabiashara walilazimika kubeba pesa taslimu ili kuweza kufanya manunuzi au baada ya mauziano ya bidhaa. Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga na Mgeni Rasmi wa hafla hiyo, Dk Kalekwa Kasanga “Uwekezaji huu wa Benki ya NMB utakuwa na faida kubwa kwa jamii yetu. Kwa kutoa njia salama na rahisi za kusimamia fedha, kupitia tawi hili maalum, uchumi wa Tinde utazidi kuimarika na watu wengi watanufaika zaidi na huduma hizi za kifedha na hivyo tutatengeza fursa za ajira na kuboresha hali ya jumla ya maisha kwa wakazi wetu.” Dk.Kasanga alisema. “Kwa upatikanaji wa mikopo na fursa ya kuweka akiba, wafugaji wataweza kuwekeza katika mifugo iliyoboreshwa, lishe bora na mbinu za kisasa za ufugaji, na hivyo kusababisha tija kubwa na kuongeza kipato. Hii pia itachochea mahitaji ya bidhaa na huduma nyingine, na kujenga mzunguko mzuri wa ukuaji wa uchumi,” aliongeza. Naye mfanyabiashara na mfugaji kutoka Tinde, Gerald Mwandu ameishukuru benki ya NMB kwa kujenga kituo hicho katika kata ya Tinde. Amewaomba wafugaji, wakulima na Wafanyabiashara kutumia huduma za benki mbalimbali za benki ya NMB.

Kwa nini Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila amehukumiwa kifo? Katika Dira ya Dunia TV

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetoa hukumu ya kifo kwa rais wa zamani Joseph Kabila kutokana na makosa kadhaa, ikiwemo uhalifu wa kivita. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw

Nafasi 24 za Ajira Serikalini

https://portal.ajira.go.tz/vacancies The post Nafasi 24 za Ajira Serikalini appeared first on SwahiliTimes.

JENISTA MUHAGAMA AKIJUMUIKA NA WANA PERAMIHO

Mgombea Ubunge katika Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama Septemba 27, 2025 akiwa anacheza ngoma ya Kioda katika Kijiji cha Serakano Kata ya Liganga Wilaya ya Songea Vijijini. Jenista Mhagama anafanya kampeni za kunadi sera za Chama Cha Mapinduzi CCM kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025 -2030 kwenye kila Kijiji ndani ya Jimbo la Peramiho na kuomba ridhaa ya CCM kuendelea kuiongoza Serikali katika kipindi cha miaka mitano 2025-2030.

BENKI YA NMB YAZINDUA TAWI MAALUM LA NMB TINDE  MNADANI

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 01, 2025

Kwa nini Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila amehukumiwa kifo? Katika Dira ya Dunia TV

Nafasi 24 za Ajira Serikalini

JENISTA MUHAGAMA AKIJUMUIKA NA WANA PERAMIHO

Lastest News

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

Pemba: Dkt. Samia Ahimiza Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu

  • 21 Sep 2025
  • 25
© Image Copyrights Title

Chiku Issa Awahamasisha Wanawake Kumpigia Kura Dkt. Samia

  • 20 Sep 2025
  • 31
© Image Copyrights Title

Askofu Novatus Rugambwa Kuagwa Dar, Kuzikwa Bukoba

  • 20 Sep 2025
  • 19
© Image Copyrights Title

WAJASIRIAMALI VIZIWI WAPATIWA ELIMU YA KODI 

  • 19 Sep 2025
  • 18
Read more News

Burudani

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

JENISTA MUHAGAMA AKIJUMUIKA NA WANA PERAMIHO

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 27
Read all News
© Image Copyrights Title

JENISTA MUHAGAMA AKIJUMUIKA NA WANA PERAMIHO

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 27
© Image Copyrights Title

USUSI WATAJWA KAMA FURSA YA AJIRA KWA VIJANA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 56
© Image Copyrights Title

GUMZO LA JIJI. KWA SASA NI AMARULA SUNDOWN SESSIONS

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 44
© Image Copyrights Title

MSANII BILL NASS ALIVYOWAIMBISHA WANANCHI KONDOA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 61
© Image Copyrights Title

WAZIRI DKT. GWAJIMA AMWAKILISHA SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AKSON KWENYE HAFLA YA MISS UNIVERSE TANZANIA, 2025,

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 71
© Image Copyrights Title

WAZIRI MWITA AWATAKA WANAMITINDO KUIWAKILISHA VEMA NCHI KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 109
© Image Copyrights Title

“KAMA WAO” YAINGIA MTAANI! MUGGA MO NA BANDO MC WAPIGA KAZI SAFI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 213
© Image Copyrights Title

ADONIJAH OWIRIWA ,  MTAYARISHAJI MKUU WA FESTAC ’77, ANASEMA

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 82
© Image Copyrights Title

BASATA YA WAJENGEA UELEWA WA MIFUMO KUSOMANA MAAFIA UTAMADUNI NA BIASHARA MARA 

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 79
© Image Copyrights Title

MAJALIWA: SANAA INAMCHANGO MKUBWA KATIKA KUKUZA UCHUMI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 77

Michezo

Don't miss daily news

© Image Copyrights Title

MRITHI WA FADLU SIMBA HUYU HAPA….KOCHA WA MAN UNITED ATAJWA….

Lorem ipsum dosectetur adipisicing elit, sed do.Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur Nulla fringilla purus at leo dignissim congue. Mauris elementum accumsan leo vel tempor.

  • 30
Read all News
© Image Copyrights Title

MRITHI WA FADLU SIMBA HUYU HAPA….KOCHA WA MAN UNITED ATAJWA….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 30
© Image Copyrights Title

KISA NAMBA YA KUCHEZA… ‘TSHABALALA’ KASHALIANZISHA KWA BOKA HUKO YANGA…ISHU YAKE HII HAPA..

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 24
© Image Copyrights Title

KUHUSU SOKA ‘MAKANDE’ LA FOLZ ….TAMKO LA MABOSI YANGA HILI HAPA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 22
© Image Copyrights Title

RASMI…..FADLU ATOA YA MOYONI KUSEPA SIMBA….ATAJA VIONGOZI…ISHU YA FEI TOTO…..

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 22
© Image Copyrights Title

HIZI HAPA TAMU & CHUNGU ZA FADLU NDANI YA SIKU 444 ZA FADLU AKIWA NA SIMBA…

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 28
© Image Copyrights Title

BAADA YA KUANZA KINYONGE CAF….WASAUZI WA SIMBA WAFUNGUKA YA MOYONI….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 25
© Image Copyrights Title

KOCHA YANGA AMTAJA ALIYEIOKOA SIMBA NA KIPIGO CHA AIBU JUZI….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 49
© Image Copyrights Title

KWA HALI HII…YANGA WANAKAZI YA KUFANYA ANGOLA LEO…WAKIKAA VIBAYA TU CHALII….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 46
© Image Copyrights Title

FURAHA YA KIPIGO CHA SIMBA YAZIMWA GHAFLA YANGA…..FOLZ AWAPA ‘KIJEMBE’ MASTAA..

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 37
© Image Copyrights Title

BAADA YA KUIONA SIMBA YA MSIMU….ALLY KAMWE KAKUNA KICHWA WEEE…KISHA AKASEMA HILI….

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit, sed do eiusmod tempor incididunt .

  • 92
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook