Search
Sign In
2 Register
Your Cart 2 items
Subtotal : $1559

Kwa nini Israel imekataa misaada kuingia Gaza? Katika Dira ya Dunia TV

  • 6
Scroll Down To Discover

Mamia ya wanaharakatai, akiwemo mwanamazingira kutoka Uswidi Greta Thumberg wamekamatwa mapema leo na kuzuiliwa na jeshi la Israel walipokuwa wakielekea Gaza kupeleka misaada. Thumberg ambaye anajihusisha na safari ya aina hii ya maboti yenye kubeba misaada inayoelekezwa Gaza, anatarajiwa kutolewa katika eneo hilo kupitia bandari moja nchini Israel. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



Prev Post Dkt. Nchimbi Ndani ya Jimbo la Nanyamba, Mtwara
Next Post PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 03, 2025
Related Posts
Comments 0

    Hakuna maoni bado. Kuwa wa kwanza kuandika maoni!

Leave A Comment
or

For faster login or register use your social account.

Connect with Facebook